Wasafi News imepiga story na Shilole na amefunguka kuwa hapendi kuona mumewe uchebe akionewa, hivyo hupenda kumtetea.Pia ameeleza kuwa anaufurahia mwili wake wa sasa jap[okuwa watu wanamponda kuwa amepoteza muonekano wa kisanii.
Wasafi News imepiga story na Shilole na amefunguka kuwa hapendi kuona mumewe uchebe akionewa, hivyo hupenda kumtetea.Pia ameeleza kuwa anaufurahia mwili wake wa sasa jap[okuwa watu wanamponda kuwa amepoteza muonekano wa kisanii.