BABU TALE:ALIKIBA TUMEMKOMA/ HATUTAKI KUMZUNGUMZIA/WCB HATUNUNUI TUZO

Tumepiga story na Manager wa Msanii Diamond Platnumz, ameeleza siri yake iliyomfanya akapata tunzo ya kuwa Manager bora afrika. Pia amemjibu msanii Alikiba na kusema kuwa amemkoma na hatomzungumzia tena.